30 April 2012


They face problems together. – A person who truly knows and loves you – a real friend – is someone who sees the pain in your eyes while everyone else still believes the smile on your face. Don’t look for someone who will solve all your problems; look for someone who will face them with you.
They give what they can because they truly care. – One of the biggest challenges in relationships comes from the fact that many of us enter a relationship in order to get something. We try to find someone who’s going to make us feel good. In reality, the only way a relationship will last, and give us joy in the long-term, is if we see our relationship as a place we go to give, and not just a place we go to take. Yes, of course it is okay to take something from a relationship too. But both sides should be giving. It can only be a ‘give and take’ if BOTH SIDES are GIVING. That’s the key.
They make time for each other. – It’s obvious, but any relationship without any face time is going to have problems. You shouldn’t have to fight for a spot in someone’s life. Never force someone to make a space in their life for you, because if they truly care about you, they will create one for you.
They offer each other freedom. – A healthy relationship keeps the doors and windows wide open. Plenty of air is circulating and no one feels trapped. Relationships thrive in this environment. Keep your doors and windows open. If this person is meant to be in your life, all the open doors and windows in the world won’t make them leave.
They communicate effectively. – It’s been said many times before, but it’s true: great communication is the cornerstone of a great relationship. If you have resentment, you must talk it out rather than let the resentment grow. If you are jealous, you must communicate in an open and honest manner to address your insecurities. If you have expectations of your partner, you must communicate them. If there are any problems whatsoever, you must communicate them and work them out. And communicate more than just problems – communicate the good things too.
They accept each other as is. – Trying to change a person never works. People know when they are not accepted in their entirety, and it hurts. A real friend is someone who truly knows you, and loves you just the same. Don’t change so people will like you. Be yourself and the right people will love the real you. If you feel like changing something about your friend, ask yourself what change you can make in yourself instead.
They are genuine, and expect genuineness. – As Leo F. Buscaglia once said, “Never idealize others. They will never live up to your expectations. Don’t over-analyze your relationships. Stop playing games. A growing relationship can only be nurtured by genuineness.” Don’t play games with people’s heads and hearts. Remember, love and friendship don’t hurt. Lying, cheating and screwing with people’s feelings and emotions hurts. Always be open, honest, and genuine.
They compromise. – Real friends meet in the middle. When there’s a disagreement, they work out a solution that works for both parties – a compromise, rather than a need for the other person to change or completely give in.
They support each other’s growth changes. – Our needs change with time. When someone says, “You’ve changed,” it’s not always a bad thing. Sometimes it just means you grown. Don’t apologize for it. Instead, be open and sincere, explain how you feel, and keep doing what you know in your heart is right.
They believe in each other. – Simply believing in another person, and showing it in your words and deeds, can make a huge difference in their life. Studies of people who grew up in dysfunctional homes but who grew up to be happy and successful show that the one thing they had in common was someone who believed in them. Do this for those you care about. Support their dreams and passions and hobbies. Participate with them. Cheer for them. Be nothing but encouraging. Whether they actually accomplish these dreams or not, your belief is of infinite importance to them.
They maintain realistic expectations of their relationship. – No one is happy all the time. Friends must keep realistic expectations of each other. Notice when you’re projecting something onto the other person that has nothing to do with them, like a fear from a past relationship, and then make an effort to let it go. Recognize when you’re looking for that person to do something for you that you need to do for yourself, like making you feel lovable or take care of your needs, and then release those expectations and do it for yourself.
They honor each other in small ways on a regular basis. – Honor your important relationships in some way every chance you get. Every day you have the opportunity to make your relationship sweeter and deeper by making small gestures to show your appreciation and affection. Remember, making one person smile can change the world. Maybe not the whole world, but their world. Your kindness and gratitude matters. Make an effort to really listen – not just wait to talk. See the other person as if for the first time. It’s all too easy to take someone for granted. Really notice all the wonderful things they do, and let them know what you see.
They listen, and they hear every word. – Giving a person a voice, and showing them that their words matter, will have a long-lasting impact on them. Less advice is often the best advice. People don’t need lots of advice, they need a listening ear and some positive reinforcement. What they want to know is often already somewhere inside of them. They just need time to think, be and breathe, and continue to explore the undirected journeys that will eventually help them find their direction.
They keep their promises. – Your word means everything. If you say you’re going to do something, DO IT! If you say you’re going to be somewhere, BE THERE! If you say you feel something, MEAN IT! If you can’t, won’t, and don’t, then DON’T LIE. Real friends keep promises and tell the truth upfront.
They stick around. – The sad truth is that there are some people who will only be there for you as long as you have something they need. When you no longer serve a purpose to them, they will leave. The good news is, if you tough it out, you’ll eventually weed these people out of your life and be left with some great people you can count on. We rarely lose friends and lovers, we just gradually figure out who our real ones are.
Source:brizzleleo blog 
Ruth Rose — a grandad of four who used to be called James — will become the oldest person in Britain to have the procedure.
She told The Sun yesterday how she has dreamed of being a woman from the age of nine.
But it is only now — nearly 70 years on and after a successful flying career — that she plans to go ahead.
Six-foot tall Ruth, of Newhaven, East Sussex, said: “It’s gorgeous to be who I am at long last.
“My life has blossomed beyond all recognition since I made the decision.”
The dad of three, who will be 79 next month, decided to live fully as a woman in public two years ago. Despite her age, doctors have scheduled the surgery for October next year — after she turns 80 — at London’s Charing Cross Hospital. In the meantime, she is being treated with NHS-prescribed hormone therapy.
Ruth said of the op: “I just want to get on with it. I’m old enough not to bother about sex - that’s not my motive. The modern climate is one of understanding and tolerance so you don’t have to pretend you are something you’re not.”
Ruth was born as James in Hertfordshire in May 1933 and went on to board at public school Gresham’s in Norfolk, playing full-back for the rugby second team. But she said: “I knew femininity was within me. I’d find little bits of clothing to dress in.”
James was accepted for a flying commission as a navigator at RAF Hornchurch in 1956, aged 23.
He wed in 1961, had a son and two daughters — and later worked as engineer. But from the 1970s James began to spend more time as Ruth, dressing as a woman.
She said: “My wife found out, which was embarrassing, but from that point I was very open about it.”
The couple divorced in 2003 after 42 years of marriage but are still close.
Ruth, a keen naturist, said: “My heart and blood pressure are in good condition so I am going ahead with this transformation. The doctors have said I am not too old.”

 Source:brizzleleo.blogspot.com/
Although I know white bread is one of the worst foods to eat on a diet, it’s always tempting. I just prefer white bread. However, it doesn’t really have any value in terms of nutrition and it’s filled with bad carbs and your body treats it like sugar, so it ends up giving you even more fat to store.
2. Sugary Cereal
This one really goes without saying, but here’s the thing. It’s tempting to think cereal isn’t really that bad, especially if you only eat it as a snack or something. I’m not going to say that it’s horrible to get a craving for lucky charms marshmallows or something on occasion because seriously, sometimes you just want sweet cereal, but it is bad. You need something with nutritional value, something that doesn’t need a lot of sweetener added to taste good.
3. Vegetable Oil
Vegetable oil is a bad diet choice simply because so much of it contains way too much fat. They’re also heavily processed, so they aren’t particularly good for you. There are alternatives, however, like extra virgin olive oil or even canola.
4. Whole Milk
You need calcium, so if you can incorporate dairy products into your diet, it’s a good idea. However, whole milk has a lot of fat, naturally, so it’s best to stay away from that. Skim milk is a much better alternative, or you may want to try soy or almond milk instead.
5. Potatoes
There are some diets that benefit from potatoes but, for the most part, potatoes are one of the worst foods to eat on a diet. It’s worse when they’re fried, as with French fries and chips, especially. If you eat potatoes occasionally, that’s not so bad, but it still needs to be in moderation. Baked potatoes, mashed potatoes, and boiled potatoes are healthier than the fried options, but it’s still best to moderate and make sure you don’t eat too much starch in the rest of your meals.
6. 100% Fruit Juice
Natural fruit juice isn’t one of the worst diet foods – or drinks, rather – in comparison, but it’s a slippery slope. First you have to make sure that your juice really doesn’t have any additives, concentrates, or extra sugars, but even then, water is a better beverage. It’s just much better to eat real fruit when you’re trying to lose weight.
7. Soda
Soda is another bad choice when you’re on a diet. All that sugar is one of the most prevalent, serious causes of obesity in the United States. Diet soda is better in helping you lose weight, but even it’s not that healthy. Again, it’s much better to drink water, as often as you can.
8. Junk Food
Needless to say, you need to avoid all kinds of junk foods when you’re trying to lose weight. If you have a tendency to snack, look for healthier alternatives to your favorites. The world is trying to become a healthier place, so you can typically find a low fat or fat free choice for any traditional junk food – and mind you, that includes chips, dips, fast food, candy, cookies, and cakes – an entire spectrum of unhealthy snacks. Avoid them as much as you can, and look for a better version.
9. Processed Meat
When you’re trying to lose weight, shopping gets more difficult. You might stumble over the worst foods to eat on a diet without even knowing it. For instance, you might see low fat or fat free deli meats and think some turkey or chicken would be a much healthier alternative to make for your lunch each day. Not so much. Those meats are so processed; they ultimately lead to weight gain. If you can, spring for the fresher, healthier variety; go for freshly cut varieties instead.
10. Peanut Butter
Peanut butter is good for you in some ways. In others, it really won’t help you lose weight, especially if you eat a lot of it. The protein is good, but you need to moderate your intake if you’re a peanut butter buff, and mix it with healthy things.
source
http://brizzleleo.blogspot.com/

29 April 2012

Mike Ezuruonye and his son. Beautiful.
Hii nguo ni nzuri kwa kweli lkn hapo katika huyu ni mama yetu na haya ni maziwa yetu hapana kwa kweli


Maharusi wakiwa na nyuso za furaha
 Haki Ngowi akiwa na mpambe wake Frank Kassang Bwalya
Maharusi na wapambe mezani pao.
Picha Kwa Hisani ya Fredynjeje blog

28 April 2012

Mchekeshaji na muigizaji gwiji nchini Tanzania Amri Athumani 'King Majuto'  ameingia mkataba wa miaka miwili na kampuni ya 'Bakhresa Group'
Mkataba huo utamuwezesha King Majuto kuwa Balozi wa bidhaa zote zinazotengenezwa na kampuni hiyo.

kwa mujibu msemaji mkuu wa familia ya King Majuto,ambaye pia ni mtoto wa msanii huyo Hamza King Majuto ameeleza kuwa pamoja na 
 kuwa balozi wa kampuni hiyo,pia msanii huyo amepata udhamini wa vipindi vyake vyote vitakavyo kuwa vikiruka katika vituo vya televisheni hapa nchini.
 
Mkataba huo wa mzee Majuto unatarajia kuanza mwezi mei mwaka huu.
 
ziadi ingia humu www.fredynjeje.blogspot.com
 



Rotavirus ni nini?

Huu ni ugonjwa wa kuhara unaoshambulia watoto wa chini ya miaka mitano. Inasemekana karibu watoto wote lazima waupitie ugonjwa huu wakiwa wameafikia umri huu wa miaka mitano hadi kumi.

Dalili kuu

Mtoto huanza kutapika akifuatiwa na kuharisha sana, pamoja na homa. Hivi vinasababisha mtoto aishiwe maji mwilini, kitu ambacho kinasababisha vifo vingi vinavyohusiana na ugonjwa huo.

Kimbilia hospitali ukiona…

Kuharisha zaidi ya mara nne ndani ya muda wa masaa 12.
Kutapika
Homa
Kama mzazi, hakikisha unakwenda upesi hospital usidharau, hutopoteza kitu (hasahasa pesa kidogo) ukienda daktari akakwambia hamna kitu.pata picha utakavyojilaumu kwa kuchelewa kwenda hospital

Unaambukizwaje?

Kama ilivyo kwa magonjwa mengi ya matumbo hasa ya kuhara, ugonjwa huu huambukizwa kupitia kula vitu vichafu vinavyoingizwa mdomoni hivyo wazazi wenye watoto wanaotambaa muwe makani na watoto hili msisite kuwaelewesha na wadada wanaobaki na watoto.
Pia ugonjwa huu unaweza kuambukizwa kwa kupitia mfumo wa hewa.


Kinga

Huu ugonjwa una chanjo, ila hii ni kwa wale walio nchi zilizoendelea aka nchi za mbele, hapa kwetu hamna kitu kama hicho. Kwa kuwa unaambukizwa mara nyingi kwa uchafu, tujitahidi kuhakikisha watoto hawaweki vitu vichafu mdomoni, wananawa mikono kabla ya kula na baada ya kwenda maliwatoni, kina dada nao wafanye hivyo hivyo,na kuhakisha unanawa baada ya kumbadilisha mtoto nepi,diapers ama pampers


Tiba

Mara nyingi madaktari watampa dawa za kutibu hao virusi na matibabu ya kawaida ya mgonjwa wa kuhara.

TAHADHARI:
Usikimbilie kununua dawa kabla hujamwona daktari, dawa za bakteria hazitibu virusi.
Yapata wiki tatu sasa tangu msanii mwenzangu Steven Kanumba aage dunia, na kama ilivyo kwa kila kitu kinapotokea huandamana na kila aina ya maneno na hisia mbali mbali kutokana na mitazamo ya watu kupishana kuhusiana na jambo husika. Kulingana na muktadha huo, msiba wa Steven Kanumba umekumbwa na maneno na hisia kama hizo, hususan mazingira ya kifo chake; kinachosikitisha zaidi watu wengi (ambao wanajitambulisha kama wapenzi wa Kanumba), na baadhi ya vyombo binafsi vya habari vimekuwa vikinihusisha na kifo hicho, kwa kusema kwamba kwa njia moja au nyingine ninahusika na mauaji ya Steven Kanumba. Kwa muda wote huo tangu msiba ulipotokea mpaka leo hii nashika kalamu kujaribu kuyaweka sawa na kuondosha hisia chafu katika fikra za watu, nimekuwa nikipitia katika wakati mgumu sana kwa jinsi ambavyo nimekuwa nikinyooshewa vidole kila upande nikihusishwa na kifo hicho, kiujumla nimezingatia maoni ya wapenzi ya mashabiki wangu wakinitaka kuwa na subira, ila kuna ukweli usemao kwamba, uongo ukirudiwa sana jamii huusadiki na kuuona ukweli, nimeona nisikae kimya ila niweke sawa hili kwamba sihusiki na kifo cha Steven Kanumba.

Nasema wazi kwanza sihusiki kabisa na kifo cha Kanumba kwanza kwa kuzingatia mazingira yenyewe ya kifo kilivyotokea. Wakati kifo hicho kinatokea, nilikuwa sehemu nyingine kabisa na mimi nilikuwa mtu wa tatu kutaarifiwa kwamba Kanumba amepatwa na mkasa ambao baadae ulisababisha kifo chake. Na na hata nilipofika katika hospitali ya Muhimbili (tofauti na watu wanavyodhani kuwa nilifika nyumbani kwake; ukweli mimi nilimkuta tayari amepelekwa Muhimbili), nilikuta tayari alikuwa ameshafariki ndio maana hata Polisi wanaohusika na usalama wa raia, si tu kwamba hawakuniweka chini ya ulinzi, sikuitwa hata kuhojiwa kwa sababu hakuna mazingira yoyote yanayonihusisha mimi na kifo hicho.

Pili, watu wanahusisha tofauti za kibinadamu zilizokuwepo baina yetu na kifo hicho, nasema hii sio sahihi kwa sababu kwanza ni kawaida kwa binadamu kutofautiana, isipokuwa kwetu sisi baadhi ya vyombo vya habari vilikuwa vinakuza kwa sababu nisizozijua, hivyo jamii ikachukulia kuwa tofauti zile ni uadui kitu ambacho sio sahihi, kwani sisi hatukuwa watu pekee tunaotofautiana kwani huu ni mwenendo wa kawaida wa dunia; hivi jana tumeshuhudia Waziri mmoja akieleza bayana katika mkutano na waandishi wa habari kuwa na tofauti na naibu wake, lakini hatuajasikia ikiandikwa wana ‘bifu’ bali imetafutwa lugha nzuri ya kupamba tofauti hizo, kwa kuwa waliohusika ni waheshimiwa, ila kwa wengine kutokana na sababu tusizozijua, inaonekana kama ni haki yetu kuandikwa vibaya.

Kinachosikitisha, kwa nini jambo hili linachukuliwa kwa mkazo mkubwa sana, kwani hatujawahi kusikia watu wakiwa wanatofautiana na ndugu jamaa hata na marafiki zao na inaonekana kawaida tu? Kwani vyombo vya habari havikuwahi kuandika kuwa marehemu Steven Kanumba alikuwa na tofauti na baba yake, na yeye mwenyewe alitamka hivyo katika vyombo vya habari, mbona wameliongea bila kuongeza chumvi, na jamii inaona kuwa ni jambo la kawaida la kibinadamu.

Pengine watu wanaojaribu kuongea hayo, hawajui mimi na Steven Kanumba tumetoka wapi? Sisi si watu tuliokutana barabarani, tuna historia katika kazi yetu ya sanaa na pia katika maisha maisha yetu. Mwanzoni kabisa, mimi ndiye niliyempokea Kanumba pale Kaole na ndiye niliyemfundisha sanaa pale (nadhani watu wanakumbuka tamthiliya za wakati huo ITV) na baada ya hapo tulienda pamoja katika kampuni ya Game 1st Quality pamoja na tukafanya filamu kama Johari, Sikitiko Langu, Dangerous Disire na nyinginezo, na tuliendelea kuwa pamoja katika kampuni hiyo mpaka tulipofanya filamu ya Oprah mwaka 2008 ambapo niliingia rasmi kufanya kazi za kampuni yangu, lakini tuliendelea kuwa pamoja hata wakati nikiendelea na kazi za kampuni yangu. Pia mimi nilikuwa wa kwanza kuanza kufanya kazi na Steps na baadae Kanumba alipoanza kufanya kazi zake mwenyewe na kunikuta huko tuliendelea kuwa pamoja kama siku zote. Kitu kikubwa kilichokuwa kinaendelea baina yetu, ni kwamba tulijenga ushindani wa kuendeleza kazi mbele kwa kila mmoja akitoa kazi, mwingine anamjibu, Isitoshe hata vitu vyetu binafsi utaona kama kuna kufanana; kuna wakati Kanumba alinunua Toyota Ruv 4 nyeusi mimi nikanunua ya kijani, aliponunua Harrier na mimi nikanunua pia, na hata gari za hivi karibuni, ukitazama utaona kuwa zinafana kwa karibu; hii ilikuwa ni kama maisha yetu, hatukuwa na uadui, ilikuwa tunapeana changamoto za maendeleo.

Watu wanaojaribu kuonesha kuwa tofauti zetu ilikuwa ni uadui, huwa hawajui wapi tulikotoka ndio maana wanasema wasemavyo na katika kuthibitisha kuwa tofauti hizo hazikufikia katika uadui, kuna watu ambao wanafanya kazi nami katika kampuni yangu ya RJ ndio hao hao Kanumba alikuwa anawatumia siku zote katika kazi zake, hata baada ya tofauti hizo hakuna aliyekoma kufanya kazi na yeyote kati yetu. Hii inathibitisha kuwa tofauti ilikuwa kati yetu kama binadamu, sio chuki za kimafanikio, ingekuwa hivyo watu kama Junior Syaary ambaye mara nyingi hufanya final editing katika RJ ndio huyo huyo alikuwa akifanya na Kanumba, Ally Yakuti ambaye anaandika script za RJ, ndiye huyo huyo aliyekuwa anaandika kwa Kanumba, Steven Shoo ambaye ni mtaalamu wangu wa light, ndiye huyo huyo anayetumiwa na Kanumba na wengine wengi kama Juma Chikoka aliyecheza kikamilifu katika filamu ya kijiji cha Tambua Haki, ambaye pia anashiriki filamu nyingi za RJ, na wote hao, hawakuanzia kwa Kanumba, wote wameanza kwangu mimi ndio niliompatia na hata baada ya hayo yanayosemwa kuwa kuwa ni uadui, sikuwahi kuwakataza kufanya kazi na Kanumba.

Tatu kumtuhumu mtu kwa namna yoyote ile bila ya uthibitisho wa tuhuma hizo, ni kosa kwa sheria za nchi na pia kama ni mfuasi wa dini yoyote ni dhambi, kwani wakati ukisema hayo huku hujui uhalisia bali unasukumwa na nguvu za hisia tu ni sawa na kumchafua mtu huyo katika jamii bila ya kujua jamii inamchukuliaje. Napenda kusema wazi wazi kuwa, kwa kila anayetekwa na wimbi hili, ajaribu kufikiria leo ipo kwangu mimi, kesho inaweza kuhamia kwako, kwani mimi sio wa kwanza kufikwa na haya, inaweza kukukuta hata wewe au ndugu yako, utajisikiaje. Na kama kweli mimi nimehusika na kifo cha Kanumba kwa namna yoyote ile, basi Mungu atanihukumu na kila aliye hai atashuhudia, ila kama sijahusika kwa lolote, Mungu hatonihukumu na badala yake ataniinua, kwa kuwa ninapita katika kipindi kigumu mno sasa hivi kwa madhila haya.
Mwisho kabisa napenda kumaliza kwa msemo usemao, ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke, kwani kadri mambo haya yanavyoendelea, usidhani yataishia kwangu, kwani mkono wa dhuluma haushii karibu, ukisikia jirani anapiga kelele za mwizi, usilale kamsaidie, usiseme kuwa hatuhusiki kwani hayupo kwetu, kesho utafikwa na wewe utakosa wa kukusaidia. cha msingi kama tunampenda sana ndugu yetu ni kumuombea kwa Mungu, kwani hatujui makao yake huko aliko, na sio kuunda vitu ambavyo kamwe hata yeye angekuwa hai asingeviafiki.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU STEVEN KANUMBA MAHALI PEMA
PEPONI

27 April 2012

26 April 2012

 Babby Alesha cute maishallah
 Maishallah babby Alesha jicho wanja
 Sisters Lakisha and Alesha
 Leila&Alesha na baba yao,uncle Omar wewe tajir wallahi una watoto wa kike wa tatu home kwako,lazima kijana wangu Dully awe anakuja kuwafundisha tution hawa.
Maishallah cute babby,mwanamke Ua kichwani.
 Lisa Lopez(left eye)
Ten years to the day after Lisa "Left Eye" Lopes was killed in a car accident in Honduras, her former TLC groupmates have a huge announcement: They're reuniting for a US tour, and will be bringing the late R&B star back to life.

feel more beautiful than I've ever felt because I've given birth, I have never felt so connected, never felt like I had such a purpose on this earth."
 
The "Crazy in Love" singer, 30, and her husband of four years, Jay-Z, 42, have gone gaga for Blue, born Jan. 7 in New York City. "She's just the cutest thing," gushes Beyoncé, who croons one-of-a-kind tunes to her daughter and professes to "love" changing diapers.

So who does her daughter most resemble? "She looks like Blue," says Beyoncé, who is back to her pre-pregnancy weight and gearing up for her first post-baby concerts, Memorial Day weekend at the Revel Atlantic City. "She's her own person."


Pumzi ni filamu fupi ya kisayansi kutoka  Kenya ,iliyoandikwa na kuongozwa na Wanuri Kahiu.

Hivi kweli wasanii wetu kama wataomba udhamini watakosa kufanya filamu za kueleweka kama hizi,lkn wapi wamezoea kufanya maigizo yao halafu wanayaita filamu.Angalia wahiru yeye ndio ameandika filamu na kuongoza lakini hakuigiza humu.
Nimepata bahati ya kuangalia mahojiano ya Wahiru aliyofanyiwa katika kipindi cha patricia Amira show kinachorushwa na channel Afrika,akizungumzia ni jinsi gani ilimchukua muda kuandika stori hii ya Pumzi.
Directed byWanuri Kahiu
Produced bySimon Hansen
Amira Quinlan
Hannah Slezacek
Steven Markovitz
Written byWanuri Kahiu
StarringChantelle Burger
Kudzani Moswela
Music bySiddhartha Barnhoorn
CinematographyGrant Appleton
Editing byDean Leslie
StudioInspired Minority Pictures
Distributed byFocus Features
Release date(s)October 21, 2009 (2009-10-21) (Kenya Film Festival)
Running time21'
CountrySouth Africa
Kenya
LanguageEnglish
Budget$35,000

24 April 2012


 Mawimbi yakiwa yanakuja kwa kasi ya ajabu katika Eneo La Nungwi Muda mchache ulio pita

Mawimbi yakizidi kusogea Eneo La Nungwi
****
Taarifa za awali zinasema kwamba Mawimbi hayo makali sana yalisogea eneo la Nungwi lakini mpaka sasa hakuna Hatari yoyote imetajwa... Endelea kufuatilia
Picha kwa hisani ya Zanzibar yetu.
FAFA this year is focused on giving up and coming creative enthusiasts opportunities to be recognized! An opportunity for PHOTOGRAPHERS, VIDEOGRAPHERS, DEEJAYS AND EMCEES has began, so keep reading for details on how any enthusiast in the above creative industries can be part of FAFA Insight 2012!
1. PHOTOGRAPHERS: Send a link to your online portfolio/website/blog, etc. or 6 images of your best photography shoots, accompanied with 200 words as to why you should get the respective opportunity with FAFA 2012.
2. VIDEOGRAPHERS: Send a link to your online portfolio/website/blog, etc. page or a 4minute video clip of your best work, accompanied with 200 words as to why you should get the respective opportunity with FAFA 2012.
3. DEEJAYS: Send a link to your online portfolio/website/blog, etc. or a 5minute sound clip from your best DJ mix, accompanied with 200 words as to why you should get the respective opportunity with FAFA 2012.
4. EMCEES: Send a video clip or a sound clip, plus a picture of yourself stating, “Hi, my name is …………………., and I’m your host for tonight as we celebrate up and coming creative enthusiasts in the African fashion industry! Welcome to FAFA Insight 2012!”
(Emcee applicants may alter the above phrase if they feel it will improve their application. At the end of the clip state briefly why you should get the respective opportunity with FAFA 2012
Send applications to:
1.fafakenya2012@gmail.com
2. In the subject of your email, clearly state the position you are applying for, e,g “Photography position – Cate Sidede” and name the video/sound clips you attach accordingly as well. 
3. All applications to be sent before or by 14th May 2012 after which no more applications will be considered.

23 April 2012

Ndugu zangu,
Katika dunia hii mwanadamu huwezi kumchagua jirani yako. Jirani yako ni jirani yako. Msiba wa jirani ni msiba wako pia, unakuhusu.
Maana, kuna wanaohoji JK kuacha mambo ya nyumbani na kwenda kushiriki maziko ya Bingu wa Mutharika. Silioni kosa katika hilo. Na hata kama JK angeamua kutokwenda mazikoni Blantyre, bado, asingekwepa lawama. Maana, kuna ambao wangemlaumu JK kwa kutozingatia mila na desturi zetu Waafrika; kushiriki kwenye kumzika jirani yako. 
Tukumbuke, kuwa Wamalawi si tu ni jirani zetu, ni ndugu zetu pia. Kuna Wanyasa wengi wa Malawi katika nchi hii waliochanganyika na makabila yetu. Na tunaambiwa, kuwa siku ya mkesha wa Uhuru wa Malawi, Watanzania wengi kando ya Ziwa Nyasa nao walikesha wakishangilia. Uhuru wa Mnyasa ni Uhuru wetu. Msiba wa Mnyasa, ni msiba wetu.
Mengineyo...
Nchi yetu inapita sasa kwenye kipindi kigumu sana. Tusishushe chini kiwango cha mjadala. Kubaki kumjadili JK na safari kwenda kutuwakilisha mazikoni ni kushusha kwa makusudi kiwango cha mjadala. Kwa makusudi tutakuwa tumeacha kujadili hoja za msingi ikiwamo hii ya kashfa za ufisadi wa kutupwa uliodhihiri bungeni na unaotutaka tuweke shinikizo kwa wahusika kuachia ngazi na hata kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Maana, anayeliibia taifa ni mhalifu tena zaidi ya mwizi wa kuku. Huyu ni jambazi. Kumwacha aendelee kukalia ofisi ya umma ni sawa na kumsusia mlevi bia, au kumpa fisi kazi ya kulinda bucha.
Tuliko sasa ni kubaya. Tunakokwenda kutakuwa ni kubaya sana kama hatutachukua hatua sasa. Nimeona asubuhi ya leo kwenye runinga ( Channel Ten) utetezi wa ajabu kutoka kwa Waziri wa Uchukuzi Bw. Omar Nundu.  
Nundu anadai hawezi kujiuzuru kwa kutoa hoja ambazo kimsingi zinamtaka aachie ngazi haraka iwezekanavyo ili abaki na heshima kwa jamii kama bado anayo.
Anatwambia Watanzania kuwa amekuwa 'akizungukwa' na Naibu wake Athuman Mfutakamba. Ndio, Waziri Nundu anapojitetea kwa Watanzania kwa kusema haelewani na Naibu wake na kuwa kampuni ya Kichina ilimpeleka Naibu wake China, Mauritania na Equatorial Guinea bila kibali chake inatosha kuonyesha kiwango cha juu cha ukosefu wa nidhamu, uwajibikaji na uadilifu katika baraza la mawaziri . Sioni ni kwa namna gani maelezo ya Nundu yanaweza kumlinda mbali ya kuonyesha ulazima wa kuwajibishwa kwake haraka iwezekanavyo.
Ndio huwezi kuonyesha kuwa ulijua kilichokuwa kikifanyika, ukabaki kimya mpaka unatwambia hii leo, halafu utake ridhaa ya umma ikuamini kuendelea kukupa dhamana ya kushika nafasi hiyo hiyo.
Na wahenga walisema; kwenye msako wa nyani ngedere hawezi kusalimika.
Ndio, tutafanya makosa kudhani kuwa ’madudu’ haya yaliyoibuliwa kwenye ripoti ya CAG yanahusu Wizara tano au sita tu. Hii ni fursa pekee kwa Watanzania kupitia wabunge wao kuendesha ’ msako mkubwa’ wa wote wenye kulitafuna taifa letu tunalolipenda.
Ni wakati pia wa kuhakikisha Katiba Mpya tunayokwenda kuitolea mapendekezo yetu itusaidie kuziba mianya ya wezi wa mali ya umma kuendelea kuliibia taifa bila ya hofu ya kufikishwa mahakamani na hata kutiwa magerezani.
Ndio, hatuwezi kuenenda kama tunavyoenenda sasa; maana, unapoona Wananchi wanalalamika, Wabunge wanalalamika, Mawaziri wanalalamika, na Rais analalamika, basi, hilo ni taifa la ajabu sana. Taifa la Walalamikaji.
Na maradhi ya ' kulalamika' ni ya kimfumo. Ni mfumo mbovu tu ndio unaoweza kuzaa Taifa la Walalamikaji. Turekebishe mfumo wetu kwa kupitia Katiba. Inawezekana.
Maggid Mjengwa,
Iringa.
Tangia binti huyu ashikiliwe kwa kuhusika na kifo cha msanii mwenzake hakuna siku niliyolia kama leo baada ya kuona hii picha.
Nimekivaa kiatu cha mama wa mtoto huyu anavyojisikia hasa kwa kumuona binti yake yupo katika ulinzi wa aina hii.
Ninasikika kuona binadamu wengine wapo mbele kumuhumu binti huyu kwa kumuita majina kibao,ni nani kati ya hao wanaomuita Elizabeth mzinifu ambae yeye hafanyi hiyo zinaa?Sikama ninashabikia hili ila tujifunze kuangalia tunayoyatenda sie kwanza kabla ya kumuhumu mwenzetu.
Pia inatupasa kujua na kufahamu kuwa lilomkuta huyu binti linaweza kumkuta mtu yoyote yule kama sio wewe bingwa wa kuhukumu basi hata mtoto wako au ndugu yako.
Sitaki kuzungumzi sheria yoyot hapa sababu mie sio mwana sheria,sitaki kuhukumu sababu mie sio mwenyezimungu,ila kikubwa ninakuombea mungu akuepushe na hili balaa mpz wangu.

22 April 2012

 Yuko wapi nimfuate,hapo biharusi ana mtafuta mumewe amaptie kinywaji hii ni ndoa ya kimila

 Ndoa raha eeh shuruti Chidi ametokenua meno yote nje
Huu ndio uhuru wa vyombo vya habari uliombwa na kukubaliwa,ama kweli  mapenzi yakizidi sana heshima hupungua.
Ninasuburi mhariri huyu atujulishe nini alichokuwa amedhamiria kuandika.

16 April 2012

James Ole Millya

MWENYEKITI wa UVCCM, Mkoa wa Arusha,kwa miaka mitano, James Ole Millya,ametangaza kujiuzulu nafasi zote kuanzia Taifa hadi Mkoa na kutangaza kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa madai kuwa CCM imefilisika kimawazo na haitoi matumaini kwa watanzania.
 
Aidha alisema hawezi kuendelea kupanda gari lenye pancha lukuki, hivyo ameamua kupanda gari lisilo na pancha na lenye kutoa matumaini mapya kwa watanzania.
Hayo ameyasema leo, wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye Hoteli ya Kibo Palace, iliyopo Jijini hapa.
Amesema mara nyingi alikuwa akikemea mambo ambayo yanaweza kubomoa chama cha CCM kwa upendo, lakini alikuwa akipuuzwa kwa sababu ya chama hicho kuwa na kikundi cha wenyewe.
“Mimi nanukuu maneneo ya Nyerere kuwa alishawahi kusema CCM sio mama yangu na mimi pia CCM sio mama yangu na natangaza rasmi, kuondoka ndani ya chama hiki na najiunga na Chadema, sababu ndicho chama chenye kuleta tumaini jipya kwa watanzania,”alisema.
Ametaja nafasi alizoachia ngazi ni pamoja na Mjumbe kamati ya utekelezaji UVCCM Taifa, Mjumbe kamati ya siasa Mkoa na Mjumbe Halmashauri Kuu CCM Mkoa.
Amesema kuwa inasikitisha kuona Vijana wa UVCCM Mkoa wa Pwani, wanatoa matamko kuwa Rais ajaye 2015 hatatoka kanda ya Kaskazini na anayemfahamu ni Rais peke yake ambaye ni Jakaya Kikwete.
Millya alisema cha kusikitisha pale alipokemea kauli hiyo alipuuzwa na hadi sasa Ikulu haijawahi kutoa kemeo kwa Vijana hao na wala kukataza kauli hizo kutolewa, jambo lililompa jibu kuwa Ikulu inahusika kwa namna moja au nyingine na kauli hiyo.
Aidha alisema kuna Vijana wengi walioko ndani ya CCM wakiishi kwa matumaini ya kusubiri kuteuliwa nafasi ya Mkuu wa Wilaya kama sio Mkoa, ila yeye hawezi kuishi kw amatumaini kama muathirika wa Ukimwi.
Hata hivyo alitoa wito kwa Vijana wote wenye nia ya dhati na mapenzi mema ya nchi yao, kumfuata Chadema ambako kunatoa tumaini jipya la maisha ya watu.
Millya ambaye alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa UVCCM tangu 2008 hadi sasa, aliwashukuru vijana kwa kumpa ridhaa hiyo na ataendelea kuwashukuru, ila ameamua kwa ridhaa yake kuachia ngazi zote kwa ajili
ya ukombozi wa kweli.
Millya hivi karibuni alijitosa kinyang’anyiro cha kugombea Ubunge wa Afrika Mashari ndani ya Chama chake cha CCM, lakini alichijiwa baharini na kutolewa jina lake.
Wakati Kiongozi huyo akitangaza kuachia ngazi hiyo ya juu ya UVCCM,ndani ya Chama cha CCM, Mkoa wa Arusha, Vijana mbalimbali wameonekana kutoamini walichosikia na wengi wao wakionyesha nia ya kumfuata.
Akizungumza kwa niaba ya vijana wenzake, Hamisi Bakari, alisema kuwa amesikitishwa na kiongozi wake kuhama chama na hiyo inaonyesha CCM imeoza na hivyo kilichobaki hata wao kumfuata anakokwenda.
“Mimi na wenzangu tutakwenda huko aliko kwa sababu kama yeye kiongozi ameamua kujiunga Chadema hata sisi wadogo hatuna mana ya kuendelea kubaki huku,”alisema.
 
Habari na Rosemary Kitosia,Arusha/Arusha yetu blog

14 April 2012


Umestahili  hiyo tuzo brodaz,hakika hapa umeyaondoa yale mazoea ya kila siku kuwa ni kinafulani tu wanastahili wakati hawana lolote watupu tu.
hakika mwaka huu wamekutendea haki ijapokuwa nina amini hata mwaka jana ulistahili brodaz.
Brodaz ninauhakika Tanga leo watalala na futaha huku wakizisubiri hizo tuzo pale stendi kwa hiyo ni wewe tu ukiamua kuzipakiza katika raha leo,bembea,au Mnyama simba hawana hofu watu wa tanga watakusubiri tu.
tena ninauhakika wanaweza hata kukusubiria Muheza lol ninajua watanga jinsi wa wa;ivyo na ARI broda.

Ma Homie brodaz Roma.

Roma ni msanii toka Jijini Tanga ambapo siku ya leo katika kilimanjaro music award ameweza kuzipata tuzo mbili.
picha kwa hisani ya Mohammed Hammie









 Kiba akipokea tuzo yake toka kwa Dina Marious wa clouds Fm
Ali Kiba akitoa shukran kwa kupata tuzo
Stage ya maharusi imependeza maishallah
  Vinywaji vikiingizwa katika mifuko ya plastic mmmmmh
Mwanakamati akiipanga vyema mifuko yenye vinywaji kwa ajili ya wageni waalikwa.
Vinywaji vikiwa tayari kwa ajili ya wageni waalikwa.lol
 Wageni waalikwa wakipita kujichukulia kimfuko chake vinywaji
 Wageni waalikwa na mifuko yao ya vinywaji

 Hii ni moja ya meza wazazi wao hawakupata bahati ya vifuko hahahaha
Hebu angali huu ukumbi ulivyopendeza jamani yaani kilichofanya uonekane mbaya ni hii mifuko ya plastic Aka Rambo.

Kwa mujibu wa mpiga picha nilikopata picha hizi, amesema kuwa vinywaji vimewekwa katika mifuko hii kutokana wageni waalikwa kuwa na tabia ya kuficha vinywaji katika handbag kubwa wanazobeba.
Hivyo kutokana na kuhusishwa kwa handbag katika hili,hapa inaonyesha ni kuwa wadada au wanawake ndio wezi wa vinywaji katika shughuli za watu,kwa kweli hii ni aibu kubwa.
Mie nilifikiri Pochi kubwa ni fashion kumbe zina kazi ya ziada kwa wanawake.
Au hii inatuthibitishia kuwa Mbeya wageni waalikwa huwa wanaiba sana vinywaji?
Swali hivi hawa wanakamati walishindwa kutafuta njia nyengine ya ugawaji wa vinywaji hadi waitie katika mifuko hii ya plastic au walikuwa na lengo la kuharibu picha za harusi za wenzao.
ninawaza tu bila ya kutoa sauti jamani sitaki chuki na mtu.

Picha kwa hisani ya

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!