24 April 2012


 Mawimbi yakiwa yanakuja kwa kasi ya ajabu katika Eneo La Nungwi Muda mchache ulio pita

Mawimbi yakizidi kusogea Eneo La Nungwi
****
Taarifa za awali zinasema kwamba Mawimbi hayo makali sana yalisogea eneo la Nungwi lakini mpaka sasa hakuna Hatari yoyote imetajwa... Endelea kufuatilia
Picha kwa hisani ya Zanzibar yetu.

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!