25 February 2016

Unapoingia kwenye majumba ya waislam wengi si jambo la kushangaza kukuta Luninga  (TV) varandani na wakati mwingine mpaka vyumbani, kwenye vyumba vya kulala. Watoto wetu wa siku hizi wamekuwa kama mazombi (mandondocha), hawana utulivu tena na luninga ndio imekuwa kibembelezi kwa watoto wanao tusumbua au kulia lia pale tunapokuwa na maongezi au jambo ambalo linaitaji usikivu. Lakini hali hii si kwa watoto tu, hata watu wazima, maana...

14 January 2016

Kuwa na harufu mbaya mdomoni ni kitendo kinachoweza kuathiri maisha ya mtu kimahusiano si kwa mpenzi tu bali marafiki na jamii kwa ujumla. Pia kuwa na harufu mbaya mdomoni uondoa haiba ya kupendwa kwani hata unapoongea wengi watakwepa kuongea moja kwa moja na wewe kwa sababu ya harufu mbaya inayotoka mdomoni mwako. Chakula unachokula kina athiri hewa inayotoka mdomoni au sehemu nyingine za mwili wako. Baadhi ya vyakula vina matokeo mabaya sana...

18 September 2015

Kambi Maarufu ya wahamiaji na wakimbizi, mjini Calais, nchini Ufaransa yenye kujulikana kwa jina la THE JUNGLE. Hii ni Kambi ya Wahamiaji na Wakimbizi iliyopo Mjini Calais, Ufaransa. Wengi wao ni kutoka Eritrea, Ethiopia, Libya, Afghanistan, Iran, Iraq, Sudan na Syria "Kila aliyeko kwenye kambi hii mjini Calais si kwamba anapenda au anataka kuishi hapo Calais la hasha. Kila mtu aliyepo hapo ndoto yake ni kwenda kuishi nchini Uingereza." Takriban...

26 July 2015

Individual consumers can show their opposition to Israel’s Apartheid policies against the Palestinian people and violations of international law by participating in a consumer boycott of Israeli goods and services. A boycott can also put pressure on companies whose exports are linked to some of the most evident aspects of the Israeli occupation and apartheid. ...

22 July 2015

Msahafu huo Unaweza kuwa ndio mkongwe zaidi duniani unapatikana katika Chuo Kikuu cha Birmingham, nchini Uingereza. Baada ya vipimo vya kujua umri wa vitu mbalimbali ‘Radiocarbon dating’ kuonyesha kuwa umri wa Msahafu huo ni miaka isiyopungua 1,370, hii inapelekea msahafu huo kuwa miongoni mwa msahafu mkongwe kuwepo duniani katika asili yake. Msahafu huo ambao umeifadhiwa kwenye maktaba ya chuo kikuu cha Birmingham kwa karne moja tangia...
...

17 July 2015

Assalamu Alaikum Wa Rahmatu Allah Wa Barakatuh 'Iydul-Fitwr Al-MubaarakTaqabbala Allaahu Minnaa wa Minkum Kwa Munaasabah huu wa furaha wa siku hii tukufu ya ‘Iyd Al-Fitwr tunapenda kuchukua fursa hii kuwawasilishia salaam zetu za siku hii na du'aa njema kwenu wote, tukimuomba Allah (Subhaanahu Wa Ta'ala) Atutaqabalie 'amali zetu na zenu ‘TAQABBALA ALLAAHU MINNAA WA MINKUM’ (Hivi ndivyo Maswahaba watukufu walivyokuwa wakiambiana pindi...

22 June 2015

Bakwata leo uko wilayani Bagamoyo walikuwa kwenye mchakato wa kumpata mrithi wa kukaimu nafasi ya Muft/Sheikh Mkuu wa Tanzania. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Sheikh Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mohamed Mhinga, alisema Baraza la Ulamaa litakaa na kuteua kiongozi atakayekaimu nafasi hiyo kwa muda siku 90 kabla ya kufanyika uchaguzi. Na leo wametimiza ahadi hiyo kwa kumchaguwa Sheikh Abubakar Zubeir kukaimu nafasi...
Sheikh Abubakary Zubery Habari tulizozipata hivi punde zinasema kuwa Sheikh Abubakary Zubery amechaguliwa kuwa kaimu Mufti katika uchaguzi uliofanyika Bagamoyo,Sheikh Zubery alizoa kura zote zilizopigwa.  Baadae wataongea na waandishi wa habari, kwa ufafanuzi zaidi. ...

15 June 2015

Habari zilizotufikia muda si mrefu ni kwamba Mufti Mkuu wa Tanzania Shekh Issa Shabani Simba Amefariki dunia, leo asubuhi. Mufti Shekh Issa Shabani Simba, alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya Kisukari kwa muda mrefu kidogo. Kabla ya kufariki, Marehemu Muft Simba alikuwa amelazwa kwenye Hospitali ya TMJ Mikocheni na alikuwa amefanyiwa operasheni ndogo kabla ya umauti kumkuta. Taarifa ya mazishi kwa mujibu wa Sheikh wa mkoa Alhadi kupitia...

2 June 2015

Hii ni moja ya video iliyo rekodiwa na mwana dada Hoyce Temu, video hii imepigwa maeneo ya Tandika, Wilaya ya Temeke Mkoa wa Dar es Salaam. Mtangazaji huyu aliweza kuwatembelea watumiaji wa madawa ya kulevya na kushuhudia jinsi wanavyo jidunga sindano, kwa kutafuta mishipa ya damu, haswa maeneo ya mikononi na miguuni. Na ikishindikana kupatikana basi ufikia hata kujidunga kwenye maeneo ya shingoni ambako mishipa ya damu ipo karibu sana na Moyo na wenyewe wanakiri kuwa ni hatari na dawa upanda kwa haraka zaidi. Wachache walio hojiwa wanaomba...

27 May 2015

Taarifa zilizo tufikia ni kwamba, Muigizaji Maarufu wa Radio na Television, Bi Catherine Mapunda, Maarufu kwa Jina la Uigizaji Bi Nyakomba, amefariki dunia. Marehemu Bi Nyakomba alipata umaarufu katika michezo ya maigizo redioni wakati huo ikirushwa na Redio Tanzania (RTD) akishirikiana na wasanii wenzake wakiwemo Hamisi Tajiri al maarufu Meneja, Ibrahim Raha al maarufu Mzee Jongo, Bakari Mbelemba al maarufu Mzee Jangala, Mzee Kagunga,...

6 May 2015

An Indian court has sentenced Bollywood star Salman Khan to five years in jail for killing a homeless man in a 2002 hit-and-run driving incident in Mumbai.The man was among five people who were run over in the incident. The actor was charged with culpable homicide.Khan had said his driver was behind the wheel, but the judge said the actor was driving the car and was under the influence of alcohol at the time.Legal experts expect the actor to...

18 April 2015

Glamour World and Food Section..... Get best of your day from Primacla Decorations & Catering. Get a different best day look by decorating with PRIMACLA and make your day perfectly great in your wedding,birthdays,sendoff, anniversary,kitchen party,baptism and even in funeral ceremony.  In Decor and catering Primacla treats you peculiar. Contact: +255754710600, +255659468484, +2557672444000, email: fnkya57@gmail.comInsta:...

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!