
Unapoingia kwenye majumba ya waislam wengi si jambo la kushangaza kukuta Luninga (TV) varandani na wakati mwingine mpaka vyumbani, kwenye vyumba vya kulala.
Watoto wetu wa siku hizi wamekuwa kama mazombi (mandondocha), hawana utulivu tena na luninga ndio imekuwa kibembelezi kwa watoto wanao tusumbua au kulia lia pale tunapokuwa na maongezi au jambo ambalo linaitaji usikivu.
Lakini hali hii si kwa watoto tu, hata watu wazima, maana...