14 August 2014

Shule ya Msingi, iliyoko kwenye majengo ya Msikiti wa Mtambani wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam umeteketea kwa moto.

Taarifa zilizopatikana kutoka kwa mashuhuda wa tukio hilo wamesema kuwa, shule hio imeteketea kwa moto jana jioni na hakuna aliyejuruhiwa katika tukio hilo.

Walioshuhudia tukio hilo walisema kwamba moto huo ulizuka ghafla baada ya Swala ya Magharibi na kuteketeza sehemu yote ya juu ya msikiti huo, ambako ndiko kwenye majengo ya shule ya msingi.

 








0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!