10 August 2014

Mie ni mpenzi mzuri wa movie za kizungu  na kihindi na pia huwa nafuatilia Sana maisha yao. 
Naomba sana siku moja hii iwe inawatokea WASANII wa nyumbani.

Hiki ndio alichoandika mr mwenyewe
Na hii ni picha yake au post yake ya 674 ktk mtandao wa face book

FB 674-Sunday well wishers back again even after 32 years they still come...!!so humbled and filled with gratitude! Iwas away for a few Sundays but they still come so this evening it was a reunion...

Amitabh Bachchan



Mashabiki wakiwa nje ya nyumba ya mr Bachchan 
Yaani hawa wanaenda pale kumuona tu

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!