10 June 2012

 Lisebule heheyaaaaa
 Maishallah hongera 
 Tenaaaa


Mmeona eeeh
 Wema,Zamaradi na Snura

 Shurti kwa ji Kaunta 
 Mbona kama.....au hii dera tu,hahahahahahahahaha
 Hii ni kwa ajili ya kwendea sokoni hahahaha,msinisonye jamani
 Ndiga zake hizi hapa
Yes ni maeneo ya Kijitonyama ndipo anapoishi my gal Wema sepetu,ndio hata kama amepanga lakini si ndio nyumbani kwake jamani,hahahahahah haya basi mtuonyeshe na nyie za kwenu hahahaha mmenuna eeeeh .
Kwa Picha zaidi ingia hapa Chini
DJ CHOKA BONGO STAR LINK
Categories:

3 comments:

  1. atuonyeshe basi na hati ya nyumba isijeikawa amepangiwa tu,maana huyu nae kwa cinema

    ReplyDelete
    Replies
    1. hata akiwa amepangiwa where the problem is?????????

      Delete
  2. hata akipangiwa jamani tatizo lipo wapi mbona watanzania bado tuna mawazo ya chuki na fitna ziso maana?????????????????

    ReplyDelete

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!