17 May 2013

Hivi Sijui nikuuite mnyama au tid siku ulikuyokubali kufanya show haukujua kama una mkataba mkubwa na unataka kuoa?
Hebu muwe mnajimini sio mnakaa kushikiwa akili.

Alichokiandika ktk page yake hiko hapo chini

Sijui umepata muda wa kusoma comment zinazoachwa katika ukurasa wako wa face book broda?.

1 comment:

  1. ACHANA NA KUKU HUYU ANAYECHAKURA CHAKURA NAWAKATI KAMWEGIA KWENYE FLOW YA MARUMARU ,FUNZA ANAYEDHANI POMBE NI MAJI KUBWA JINGA ANAYEDHANI SEMBE NI TUMBAKU

    KAISHIWA TOKA AANZE MZIKI LA MAANA ALOFANYA NI KUKAA JELA NA KULEWA

    ReplyDelete

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!