20 November 2012

Leo ilikuwa ndiyo siku ya hukumu dhidi ya watuhumiwa watatu wa mauaji ya marehemu Swetu Fundikira aliyeuawa kwa kupigwa miaka miwili iliyopita. Mara baada ya watuhumiwa hao kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa, ndugu na jamaa wa marehemu waliangua kilio na wengine hadi kuzimia.
 huduma ya kwanza kwa kupepewa

 ndugu wakilia
 mmoja wa ndugu wa Fundikira akibebwa mara baada ya kuzimia na kudondoka sakafuni
 Kushoto ni dada wa marehemu Rehema Fundikira, Hadija Mdemu shemeji wa marehemu wakilia mahakamani hapo.
 majonzi na huzuni
 Watuhumiwa wakiwa mahakamani kabla ya hukumu kusomwa. kutoka kulia ni Rhoda Robert, Ally Gube na Mohamed Ally.
safari ya huzuni ya Rhoda Robert kuanza maisha mapya gerezani mara baada ya hukumu.
PICHA: ISSA MNALLY/GPL

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!