18 November 2012


SAMAHANI KWA WALE NTAKAO WAUZI LAKINI HII NI kWA WAVIVU NA WASIOPENDA KUFIKILIA MBELE...............Unamkuta kijana wa miaka 26 bado anaishi kwa wazazi wake namaanisha (KKB)awazi kujisaidia mwnywe ajui km baadae atakuja kuitwa baba na pia unamkuta binti wa miaka 30 kila kukicha anawaza club,kujilemba,umbeya,majungu,ataakingia FB status zake ni za mapenzi tuu,na kazi yake ni kuangalia nani wakumpa
hera ajui ataishije kazi yake ni kugawa vitega uchumi tuu.................................Kuna wengne hukaa vijiwen kwaajl ya kugongea,kutongoza,kupewa lift na kusengenya.mda wote wao ni kutembeza maneno kutoa hapa kupeleka hapa kwanzia asubuh mpaka ucku hakuna walichopata zaidi ya upekupeku hawapendi kujishughulsha kaz ni Uvivu tuu..........................kuna wale wa kulelewa unamkuta mkaka/mdada anawaza mke/mume wa m2 tena anawamendea nakujipitsha ili alelewe uo ni uvivu wew kam binti/kijana inabidi uji2me uoneshe uwezo wako co kujizalilisha kwaajl ya pesa/mtelemko utauawa..........ASIYE FANYA KAZI NA ASILE.....

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!