5 March 2014

Lupita Nyong'o amekuwa muigizaji wa kwanza mkenya kushinda tuzo ya Oscar katika filamu 12 Years a Slave
 
Muigizaji msaidizi katika Filamu ya 12 Years, Lupita Nyong'o akionyesha wazi hisia zake baada ya kushinda tuzo hiyo kwa muigizaji msaidizi bora zaidi. Alicheza kama msichana mtumwa ambaye alipendwa na kabaila shamba wake 


Lupita Nyong'o: Nyota wa filamu '12 Years a Slave' alikuwa muigizaji msaidizi na baada ya kuteuliwa kwa tuzo hiyo, alifanikiwa kuinyakua katika hafla ya tuzo za Oscars

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!