19 December 2013

Tangia Mishe Mishe za Christmas zimeanza binti yangu amekuwa akisisitiza tumualike Santa nyumbani.
Tukatumia muda mrefu kumuelewesha Kuwa sio imani yetu ya dini.
Huku na Huku akasema basi zawadi ya Christmas,tukamjibu utapata siku ya birthday yako.
Maswali yalikuwa mengi sana mwisho wa siku akatujibu Kama tunakataaa Santa kuja home shule atafika na zawadi atapewa tukamjibu sawa.
Leo ametoka shule ananiambia unaona Santa amenipa zawadi .

    Na zawadi zake toka kwa Santa 
    Pose sasa binti wa mie

    Zawadi toka kwa Santa wa shule
Kazi ipo ninauhakika atatuelewa baadae.

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!