15 May 2014


Homa ya dengue iko Malasia, Thailand, Filipino miaka mingi. Wao watibu na kuzuia isiwapate kwa kutumia Papai wanatafuna na mbegu zake. Au majani ya papai ma-5, twanga, au ponda, kama blenda inaweza upate rojo la kijani, kamua weka asali, tumia 3 vya chakula kwa siku. Utajiwekea kinga hutaugua homa hii. Mjulishe na mwingine. Angalia kwny internet google, andika Dengue fever malysia. Utaona wanavyo tumia product za papai wanajikinga na kupona. Tahadhari ni hatari ikikushika haina tiba. Heri kinga.
NB:ingia ktk hii web usome zaidi
www.medicinet.com 
Halafu tafuta dengue fever

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!