7 June 2013


                Siku ya harusi yao
Marehemu Jaffar na mkewe bi khadija

Marehemu alikuwa anasumbuliwa na matatizo katika mfumo wa upumuaji na mpaka mauti yanamfika alikuwa amelazwa katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN.

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!