10 April 2012

Steji ya wasanii
Umati wa watanzania walioshiriki maziko ya Msanii kanumba
 Mke wa Rais wa Tanzania mama Salma Kikwete akiingia viwanja vya leaders
 Mama Salma Kikwete Akiingia katika viwanja vya leaders kwa ajili ya kumuaga nmsanii kanumba
 Mama Salma Kikwete akiwa anasubiri kumuaga msanii Kanumba
 Waziri wa Mambo ya Nje Mheshimiwa Membe akiingia katika viwanja vya leaders
 Mbunge wa Mbeya muheshimiwa  JOSEPH MBILINYI akiwasili katika viwanja vya leaders
 Waziri Membe akiteta na waziri wa habari na michezo mheshima nchimbi
Picha zote na Abdullah Zulu Lyana/
hisani ya www.daresalaam-yetu.blogspot.com

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!