20 March 2012

Bibi hili linavaliwa nyumbani tu utachekwa na kunyanyuliwa kope utapoonekana nalo harusini hahahaha kama ninakuona unavyosonya maana ushalivaa sana harusini shosti.
Mtazamo tuu msiniletee kizaa zaa bure wengine hamuanziwi.
Kama unalihitaji au unayahitaji nitafute basi.

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!