10 April 2012









Mwili wa msanii Kanumba ukiingia katika nyumba yake ya milele

Msanii Ray Kagosi akiwa haamini kinachoendelea,kuhusiana na msiba wa swahiba yake
Wengine walijaribu kupanda juu ya miti ili kuweza kushughudia maziko ya Msanii Kanumba
Charlz baba akiwa na wanamuziki wenzake toka mashujaa band

Huu ni umati wa watu ulifurika katika maziko ya msanii Kanumba
Ulinzi ukuwa wa hali juu








0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!