20 February 2012

Chezeya machinga hata katika starehe biashara huzungumziwa
 Muke ya Mumasai na Tunda Man
  Muke ya mumasai na rafiki yake
 Haaaaah sisterz 4ever
Happy people,watanunaje wanaopenda uchonganishi
 Fat Joe na friend,kimini chahitaji mguuu nimempenda huyo mdada
Nani kakwambia Wasonjo hawa party shauri yako na mawazo yako ya longtime kitambo
Fat Joe Mukaka ya Mie
Handsome wa Manzese Tunda man akiwarusha wajanja wa Milton UK  
 Chezeya Goma la Mazese weye hadi viatu pembeni
 Mikono Juu
 Tunda man na Aziza wendo Aka Mama Naima
 Gomba linapochukua hatamu yake

 Teena watasemaje wenye Midomo kapu
 
 Mmependeza maishalllah hiyo nguo ya dosti dosti killing me wallahi
 Kiduku au kwaito?
Walipanga au imetokea kwa bahati mbaya,ninazungumzia nguo za njano,viatu blue hahahahahah
 Fat Joee
 Fat Joe na Muke Ya Mumasai wa Ukweli
 Kulia Tunda man,katikati Manager wa Tmark,mwisho Mmasai mume wa Mariamu
Wakizipata habari watanunajeeeeeeeeee 
Kimini kilipotendewa haki,Ninakusubiri Ugeuke dada
 Watanunajeeee na kuongea sanaaaa katika vikao vyao vya makapu yasiyojaaa
Sio kama walikuwa wanacheza segere hapana ni bongo flava hiii hii unayoijua ww na mimi

1 comment:

  1. hakunaga kama Tundaman na Goma lake la Manzese chezeaa! Watu walipendezajeee na huyo mwenye kimini uliye mpenda ndo Diva no 1 aka Meckyladiva my sister aka Super Star wa bongo moviesssss. Wametisahjeeeeeee

    ReplyDelete

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!