.Jaydee ametweet:
“Radio ya watu isiopiga nyimbo za wasanii wa watu ila za wasanii wao tu, wasiopendwa na watu. #JotoHasira,” ametweet Jide.
Katika kile kinachoashiria kuwa yuko tayari kwa lolote Jaydee ameongeza kwa kutweet, “Kill me if u can. Am on fire, siogopi ng’oooooo jipangeni. Ni kweli nimelamba sumu, lakini hainidhuru. Nakunywa maziwa daily, I will survive.”
“Anayedai kuianzisha bongoflava aliapa kuiua bongo flava. Sasa hata wasioijua Hiphop nao wana beef na Bongo flava! Damn.Mnalishwa chungu na tamu na vyote mnakula. Vinyoka nyamazeni acheni Anaconda aongee.”
“Radio ya watu isiopiga nyimbo za wasanii wa watu ila za wasanii wao tu, wasiopendwa na watu. #JotoHasira,” ametweet Jide.
Katika kile kinachoashiria kuwa yuko tayari kwa lolote Jaydee ameongeza kwa kutweet, “Kill me if u can. Am on fire, siogopi ng’oooooo jipangeni. Ni kweli nimelamba sumu, lakini hainidhuru. Nakunywa maziwa daily, I will survive.”
“Anayedai kuianzisha bongoflava aliapa kuiua bongo flava. Sasa hata wasioijua Hiphop nao wana beef na Bongo flava! Damn.Mnalishwa chungu na tamu na vyote mnakula. Vinyoka nyamazeni acheni Anaconda aongee.”
KANENA KWELI
ReplyDeleteHILO NDO JOTO LA HASIRA JIDE WATAJIPEPEA NA BARIDI HAIWAPATI
ROHO ZAO ZIMEJAA JOTO TUPU NA LIKIWAZIDIA WATARIPUKA WAACHE.
WEWE UPO JUU JIDE NA ANAETAKA KUKIMBIZANA NAWE AKESHE AKIOMBA KWANI KILA MTU HUSAFIRI KWA YAKE
KABLA YA HIZO REDIO ZA WATU ULISIKIKA NA UKATOKA HEWANI KWA ZILE ZILE RADIO ZA ZAMANI
WEWE NI JIDE NA UTABAKI KUWA JIDE KAA KIMYA ACHANA NAO