26 July 2014

Balbriggan Integration Forum (BIF) was nominated by Fingal County Council to take part in the Pride of Place competition. Pride of Place is an honorary recognition of a group, place or a community for the valuable work undertaken in their local areas. BIF is set to win this for Balbriggan. 
Okey mie ndugu yenu niliwakilsha Tanzania na nilipika vitumbua,na nikapata muda wa kuilezea Tanzania kwa kidogo.

   Mwenye nguo nyeusi na weupe ndio muandaaji wa hii siku anatokea serrileon 
Besty Abu

 Bazungu walivutiwa sana na vitumbua hahahaha 😜


    Mwishoni hapo unaona bendera ya   Tanzania eeeh na bakuli la vitubua in baby T voice.
    Huu msosi toka Eltria 
 Wenye nchi Yao wa kwanza hapo Ireland
   Sahani mbili za kwanza toka Romania ,
Hizo zinazofuatia toka Rusia 
Na hilo sosi hapo toka Jamaica 
   Hapo bendera zinajieleza
   Eltria 

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!