Pages - Menu

22 June 2015

BAKWATA Wachagua Kaimu Muft/Sheikh

Sheikh Abubakary Zubery

Habari tulizozipata hivi punde zinasema kuwa Sheikh Abubakary Zubery amechaguliwa kuwa kaimu Mufti katika uchaguzi uliofanyika Bagamoyo,Sheikh Zubery alizoa kura zote zilizopigwa. 

Baadae wataongea na waandishi wa habari, kwa ufafanuzi zaidi.





No comments:

Post a Comment