News, Entertainment, Culture, Fashion, Health, Science & Many More...
Pages - Menu
▼
29 August 2012
Huyu ndio Mama aliyeolewa na mwanae.
Mke na Mume, Bi Condorada Ngonyani (70) na Bw. Joseph Mapunda, ambao ni Mama na Mwanawe, wakiwa nje ya nyumba ya Mganga, wakati walipofikishwa kwa suala hilo la Mama Mzazi na Mwanawe kufunga ndoa.
No comments:
Post a Comment