tag:blogger.com,1999:blog-5577637568645188237.post2848510064958949288..comments2023-06-08T21:16:00.483+01:00Comments on T-Mark: Mmmmh Wasanii JmnTmarkhttp://www.blogger.com/profile/17057325938794393281noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-5577637568645188237.post-34699862425570594792012-02-07T00:14:33.822+00:002012-02-07T00:14:33.822+00:00Sisi tunaelezwa wazi kuwa "when it bleeds, it...Sisi tunaelezwa wazi kuwa "when it bleeds, it leads".<br />Habari zivumazo si zile za ukarimu sana. Sitashangaa kujua kuwa alipanga hili na limempa attention ya kutosha. Na bado wapo watakaomfuatilia kuona kama ANA MPANGO WA KUOMBA MSAMAHA.<br />Hilo tayari litakuwa ni chance la kuonekana na kusikika na kutambulika. Na akishaomba msamaha, who cares kuhusu alichoonyesha? Atakuja na best selling song na mambo kama hayo.<br />Ninaweza kukuhakikishia kuwa wengi wamemjua kwa mkupuo kupitia tukio hili kuliko ambavyo wangemjua kwa "kucheza vizuri>"<br />AGAIN<br />When it bleeds, it leads.<br />INASIKITISHA LAKINI NDIVYO ILIVYOMzee wa Changamotohttps://www.blogger.com/profile/10491704592061579729noreply@blogger.com