28 March 2014






Shukran BabyT kwa zawadi ya siku ya mama duniani,mwenyezimungu atuzidishie mapenzi binti yangu.

22 March 2014

18 March 2014

Beyoncé 'Doesn't Want To Go' To Kim Kardashian's Wedding To Kanye As She 'Refuses' To Be Filmed

The pop superstar is reportedly only going to the ceremony to keep Jay Z happy

Their other halves are BFFs.

Beyonce is NOT happy about attending Kim and Kanye's wedding. Copyright [Getty]

But it's no secret that there's not a lot of love lost between Kim Kardashian andBeyoncé and it sounds like things are about to get even frostier.

According to reports, the pop superstar isn't too keen on attending the reality star's impending nuptials to Kanye West - and has refused to be filmed for KUWTK. Bit awks.

Jay Z refuses to be Kanye West's best man at wedding to Kim Kardashian unless his family is kept away from ANY reality television cameras? ]

Kim Kardashian and Kanye West sign prenup: she'll receive $1 million for each year they're married ]

While it seems that Queen B WILL be at the Parisian ceremony in May, to please hubbie Jay Z, she has reportedly told Kim and Kanye that she will NOT appear in any of the E! reality show.

Jay-Z will 'definitely' be at his BFF's wedding in Paris. Copyright [Getty]

A source told RadarOnline:"Jay andBeyoncé’s wedding was shrouded in secrecy and extreme lengths were made to make sure their wedding was an intimate affair for friends and family, only.

"This will be the complete opposite. She thinks it’s just tacky."

The Drunk In Love star reportedly told Kanye that "under no circumstances will she be a part of any filming on the wedding day if it’s for Kim’s reality show."

But while Bey is clearly not unhappy about the whole thing, if she doesn't attend than it will be seen as one serious snub to her hubbie's bestie.

Kim and Kanye will have their lavish ceremony filmed for Keeping Up With The Kardashians. Copyright [WENN]

The source added: "She knows she’ll have to go to the wedding, but really does not to want to."

It's only recently been revealed that the ceremony, which will be held in Paris on May 24, will be filmed for Kim's E! show. 

While Kanye was originally against the blow-out ceremony being part of the reality show, he was eventually convinced by the family and producers to let the cameras roll.


   Daaaah haipendezi etiii
Kikubwa tutambue kuna fainali uzeeni .....nimemaliza

17 March 2014


nembo-taifa.gif.pagespeed.ce.PYaHE5b175
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA 
MITAA (OWM – TAMISEMI)
AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA 
MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14.
A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI INATANGAZA ORODHA
YA WANACHUO WAHITIMU WA MAFUNZO YA UALIMU KAMA 
IFUATAVYO:- 
i. Walimuwa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 17,928 
ii. Walimu wa Stashahada kwa ajili ya shule za sekondari 5,416 
iii. Walimu wa Shahada kwa ajili ya shule za sekondari 12,677
Walimu hawa wamepangwa katika Halmashauri na shule za mazoezi za 
vyuo vyaualimu Tanzania Bara.
B: Kila Mwalimu ( Ajirampya) atatakiwakuzingatiayafuatayo:-
1. Kuripoti 
tarehe 01/04/2014 kwenye ofisi zaWakurugenzi wa Halmashauri kwa ajili
ya kupangiwa vituo vya kazi na kuanza kazi. 
2. Mwalimu atatakiwa kuwa na vyeti vyake halisi vya chuo na Sekondari 
3. Walimu ambao ni waajiriwa wa Serikali waliokuwa wanajiendeleza kieli
mu wanatakiwa kurudi kwa waajiri wao ili kuendelea na kazi 
4. Fedha za kujikimu za siku saba (7) 
na nauli kwa walimu wapya zimetumwa katika Halmashauri walikopang
wa walimu. Hivyo, kila mmoja aripoti katika Halmashauri aliyopangwa 
5. Mwalimu ambaye hataripoti ifikapo tarehe 10/04/2014 hatapokelewa 
tena na atakuwa amepoteza ajira yake.

Ndege ya shirika la ndege la Malawi
Mamia ya wasafiri wamekwama katika uwanja wa kimataifa wa ndege mjini Blantyre, Malawi baada ya uwanja huo kusemekana kutokuwa salama.
Ndege ziliamrishwa kubadili mkondo zikiwa angani huku wasafiri wakitakiwa 
kwenda mjini Lilongwe umbali wa kilomita miambili kutoka Blantyre, ili kuendelea na safari zao.
Waziri wa usafiri, Ulemu Chilapondwa, amesema kuwa uwanja huo utafungwa kwa kipindi kisichojulikana kutokana na ubovu wa barabara zinazotumiwa na ndege wakati zikiruka
Habari toka BBC 

Mo Farah akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuzirai.

...Farah akiinuliwa kutoka eneo la tukio. Wa kwanza kushoto ni mshindi Geoffrey Mutai na wa pili kulia ni mshindi wa tatu Stephen Sambu.


16 March 2014


Jana mchana nyumba za Askari wa jeshi la polisi zilizopo eneo la chumbageni nyuma ya kituo cha polisi kikuu cha chumbani jijini Tanga zaungua moto.







Mkuu wa wilaya ya Tanga Mh.Halima Dendegu akiwasili katika eneo la ajali.
Mh.Halima Dendegu akishuhudia ajali ya moto katika nyumba za polisi chumbageni,jijini Tanga hapo jana 
Wananchi wakishuhudia na kusaidia vikosi vya zimamoto katika uzimaji moto huo.
Baadhi ya vitu vilivyookolewa katika ajali ya moto.
Picha kwa hisani ya Tanga kunani(TK)

9 March 2014

Ni maambukizi yanayowenza kuanzia katika figo,ureta(mrija unaotoa mkojo kutoka katika figo hadi katika kibofu),kibofu na uretha(mrija unaotoa mkojo kutoka katika kibofu hadi nje ya mwili).Sehemu mojawapo kati hizi ikiwa na maambukizi yanaitwa UTI.

SABABU.

UTI inasababishwa hasa na vimelea vya bacteria viitwavyo E.Coli,pia hata baadhi ya Virusi wanaweza kusababisha ungojwa huu.
Kwa kawaida E.coli hawana madhara wanapokuwa katika mfumo wa chakula hasa katika utumbo mwembamba na mpana lakini wanapohamia katika mfumo wa mkojo wanakutana na mazingira tofauti na yale waliyoyazoea katika mfumo wa chakula.Hivyo katika juhudi zao kukabaliana na hali hiyo ya mazingira wanasababisha maambukizi katika mfumo(njia) wa mkojo.

DALILI ZA U.T.I

(MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO)

1.Kwenda haja ndogo mara kwa mara dalili hii pia wanaweza kuwa nayo wenye kisukari.
2.Kusikia maumivu wakati kwenda haja ndogo dalili hii pia wanaweza kuwa nayo wenye Kisonono- au Gono.
3.Maumivu ya tumbo hasa chini ya kitovu dalili nayo wanaweza kuwa nayo wenye PID.
4.Kuwa na homa kali hasa kwa watoto wadogo.
5.Kuwa na kichefuchefu na kukosa hamu ya kula.
 

Mbunge Irungu kang'ata anaongoza juhudi za kundi lililoundwa la kupinga wapenzi wa jinsia moja nchini kenya.sheria zilizopo zinasema ni hatia kwa watu kujiingiza katika tabia za ushoga na adhabu yake ni miaka 14 jela.

Huenda ikawa ni nchi inayofuata yenye utata unao husiana na wapenzi wa jinsia moja, huku wabunge wakipanga kuwasilisha muswada bungeni kushinikiza serikali kufanya juhudi zaidi kutekeleza sheria zilizomo za marufuku ushoga.

Kwa upande wao wanaharakati wa kutetea wapenzi wa jinsia moja wanasema shinikizo limeongezeka tangu nchi jirani ya uganda ilipopitisha sheria dhidi ya mashoga mwezi oliopita.

Irungu Kang'ata ambaye ni mbunge kwa mara ya kwanza anaongoza juhudi za kundi lililoundwa majuzi la kupinga wapenzi wa jinsia moja nchini kenya.katika kampeni za wazi kabisaa, mbunge huyo ameomba chama tawala kuelezea serikali inachukua hatua gani kutekeleza sheria zilizopo dhidi ya mashoga.

Sheria zilizopo nchini kenya zinasema ni hatia kwa watu kujiingiza katika sheria za ushoga na adhabu yake ni kifungo cha miaka 14 jela.

Kundi hilo linalo pinga wapenzi wa jinsia moja liliundwa majuzi na raisi wa nchi jirani ya uganda Yoweri Museveni alipotia saini dhidi ya wapenzi wa jinsia moja mwezi February, licha ya shinikizo kutoka katika nchi za Magharibi asitie saini.

8 March 2014

Ninaisaka hii movie Kama kuna yoyote aliyeiona anihadithie japo kidogo



  • Kuma is a 2012 Austrian film directed by Umut Dag about a Turkish immigrant family living in Vienna. Wikipedia


  • Initial release: April 27, 2012 (Austria)

  • Director: Umut Dag

  • Running time: 93 minutes

  • Screenplay: Petra Ladinigg

  • Story by: Umut Dag

  • 6 March 2014

    Yap it's 2moro come and let's enjoy our day, 

    Balbriggan Women’s Health and Wellbeing Expo 2014
    FREE, FREE, FREE ….COMMUNITY EVENT

    To celebrate International Women's Day, Health and Wellbeing subgroup of Balbriggan Integration Forum (BIF) organizes an event for all women in the Balbriggan area. 
    Let’s celebrate women’s day lifestyles and stay healthy.  Come and be inspired, get information and have  fun.
     Programme for the day
    10:00-3:00 pm 
    Health checks,Information and advice
    Fashion and Wardrobe exchange
    Financial Health-MABS

    10:00-11:00 am
    Physical health-Aerobics

    10:00-1:00 pm
    Beauty and Skincare techniques

    10:30-11 am
    Mental health- stress management

    11:05-12:00 pm
    Yoga

    12:05-12:50 pm
    Low cost healthy lunch box

    1:00-1:40 pm
    Speech and lunch






    5 March 2014

    Rais wa Uganda Yoweli Museveni akiwa mbele ya Waandishi wa Habari wa kitaifa na kimataifa, akisaini muswada wa sheria dhidi ya mashoga wanaopendelea mahusiano ya jinsia moja.


    Lupita Nyong'o amekuwa muigizaji wa kwanza mkenya kushinda tuzo ya Oscar katika filamu 12 Years a Slave
     
    Muigizaji msaidizi katika Filamu ya 12 Years, Lupita Nyong'o akionyesha wazi hisia zake baada ya kushinda tuzo hiyo kwa muigizaji msaidizi bora zaidi. Alicheza kama msichana mtumwa ambaye alipendwa na kabaila shamba wake 


    Lupita Nyong'o: Nyota wa filamu '12 Years a Slave' alikuwa muigizaji msaidizi na baada ya kuteuliwa kwa tuzo hiyo, alifanikiwa kuinyakua katika hafla ya tuzo za Oscars

    4 March 2014


                Tanga mji uliopangika 
                 Baadhi ya eneo la Tanga jiji
    Karibuni Tanga wadau.
    Picha kwa hisani ya Tanga kunani page (TK)

    3 March 2014



        Jamie Fox with beautiful daughter Corinne,ready for the red carpet

        What a lovely date for dad and daughter.
    Let me day dreaming about my lovely daughter and my hubby to be like this!!! Oooh why not?😜 I know mnavyosonya

    1 March 2014

     

    Benki ya dunia imebana msaada wa dola milioni 90 kwa Uganda , siku chache tu baada ya Rais Yoweri Museveni kuishinisha sheriua mpya dhidi ya mapenzi ya jinsia moja.

    Benki hiyo imesema kuwa inataka kufanya tathmini yake kuhakikisha kuwa malengo yake ya maendeleo nchini Uganda katika sekta ya afya, ambayo msaada huo ulikuwa unanuiwa, hayataathirika

    Sheria iliyoidhinishwa na Rais Yoweri Museveni, ilitiwa saini Jumatatu na inatoa adhabu kali kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja.

    Wafadhili wengine tayari wameanza kusitisha misaada Uganda. Wahisani kama Denmark na Norway wamesema kuwa wataanza kufadhili mashirika moja kwa moja badala ya serikali.



    Aslimia 20% ya bajeti ya Uganda inategemea michango ya wafadhili.

    Mpaka sasa nchi tatu za Ulaya zimeamua kukata misaada yao kwa mamilioni ya dola.

    Wizara ya fedha ya Uganda imesema inasubiri mawasiliano rasmi ya nchi husika, na iko tayari kukabiliana na athari za hatua hiyo.

    Hadi kufikia sasa Waziri wa Fedha Wa Sweden, akiwa mjini Kampala, alisema waekezaji kutoka nchi yake watakuwa na wakati mgumu kuweka pesa zao nchini Uganda kwa sababu watakuwa na hofu kuwa sheria yo yote inaweza kupitishwa kuwadhulumu watu.

    Jana serikali ya Uholanzi ilisema itazuia kwa muda misaada kwa Serikali ya Uganda. Norway na Denmark pia zimetangaza kupunguza au kusimamisha kwa muda misaada yake kwa Uganda.

    .

    Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!