28 March 2014
22 March 2014
18 March 2014
Beyoncé 'Doesn't Want To Go' To Kim Kardashian's Wedding To Kanye As She 'Refuses' To Be Filmed
The pop superstar is reportedly only going to the ceremony to keep Jay Z happy
Their other halves are BFFs.
Beyonce is NOT happy about attending Kim and Kanye's wedding. Copyright [Getty]But it's no secret that there's not a lot of love lost between Kim Kardashian andBeyoncé and it sounds like things are about to get even frostier.
According to reports, the pop superstar isn't too keen on attending the reality star's impending nuptials to Kanye West - and has refused to be filmed for KUWTK. Bit awks.
[ Kim Kardashian and Kanye West sign prenup: she'll receive $1 million for each year they're married ]
While it seems that Queen B WILL be at the Parisian ceremony in May, to please hubbie Jay Z, she has reportedly told Kim and Kanye that she will NOT appear in any of the E! reality show.
Jay-Z will 'definitely' be at his BFF's wedding in Paris. Copyright [Getty]A source told RadarOnline:"Jay andBeyoncé’s wedding was shrouded in secrecy and extreme lengths were made to make sure their wedding was an intimate affair for friends and family, only.
"This will be the complete opposite. She thinks it’s just tacky."
The Drunk In Love star reportedly told Kanye that "under no circumstances will she be a part of any filming on the wedding day if it’s for Kim’s reality show."
But while Bey is clearly not unhappy about the whole thing, if she doesn't attend than it will be seen as one serious snub to her hubbie's bestie.
Kim and Kanye will have their lavish ceremony filmed for Keeping Up With The Kardashians. Copyright [WENN]The source added: "She knows she’ll have to go to the wedding, but really does not to want to."
It's only recently been revealed that the ceremony, which will be held in Paris on May 24, will be filmed for Kim's E! show.
While Kanye was originally against the blow-out ceremony being part of the reality show, he was eventually convinced by the family and producers to let the cameras roll.
17 March 2014
16 March 2014
9 March 2014
SABABU.
UTI inasababishwa hasa na vimelea vya bacteria viitwavyo E.Coli,pia hata baadhi ya Virusi wanaweza kusababisha ungojwa huu.Kwa kawaida E.coli hawana madhara wanapokuwa katika mfumo wa chakula hasa katika utumbo mwembamba na mpana lakini wanapohamia katika mfumo wa mkojo wanakutana na mazingira tofauti na yale waliyoyazoea katika mfumo wa chakula.Hivyo katika juhudi zao kukabaliana na hali hiyo ya mazingira wanasababisha maambukizi katika mfumo(njia) wa mkojo.
DALILI ZA U.T.I
(MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO)
1.Kwenda haja ndogo mara kwa mara dalili hii pia wanaweza kuwa nayo wenye kisukari.2.Kusikia maumivu wakati kwenda haja ndogo dalili hii pia wanaweza kuwa nayo wenye Kisonono- au Gono.
3.Maumivu ya tumbo hasa chini ya kitovu dalili nayo wanaweza kuwa nayo wenye PID.
4.Kuwa na homa kali hasa kwa watoto wadogo.
5.Kuwa na kichefuchefu na kukosa hamu ya kula.
Huenda ikawa ni nchi inayofuata yenye utata unao husiana na wapenzi wa jinsia moja, huku wabunge wakipanga kuwasilisha muswada bungeni kushinikiza serikali kufanya juhudi zaidi kutekeleza sheria zilizomo za marufuku ushoga.
Kwa upande wao wanaharakati wa kutetea wapenzi wa jinsia moja wanasema shinikizo limeongezeka tangu nchi jirani ya uganda ilipopitisha sheria dhidi ya mashoga mwezi oliopita.
Irungu Kang'ata ambaye ni mbunge kwa mara ya kwanza anaongoza juhudi za kundi lililoundwa majuzi la kupinga wapenzi wa jinsia moja nchini kenya.katika kampeni za wazi kabisaa, mbunge huyo ameomba chama tawala kuelezea serikali inachukua hatua gani kutekeleza sheria zilizopo dhidi ya mashoga.
Sheria zilizopo nchini kenya zinasema ni hatia kwa watu kujiingiza katika sheria za ushoga na adhabu yake ni kifungo cha miaka 14 jela.
Kundi hilo linalo pinga wapenzi wa jinsia moja liliundwa majuzi na raisi wa nchi jirani ya uganda Yoweri Museveni alipotia saini dhidi ya wapenzi wa jinsia moja mwezi February, licha ya shinikizo kutoka katika nchi za Magharibi asitie saini.
8 March 2014
6 March 2014
Yap it's 2moro come and let's enjoy our day,
FREE, FREE, FREE ….COMMUNITY EVENT
5 March 2014
4 March 2014
3 March 2014
1 March 2014
Mpaka sasa nchi tatu za Ulaya zimeamua kukata misaada yao kwa mamilioni ya dola.
Wizara ya fedha ya Uganda imesema inasubiri mawasiliano rasmi ya nchi husika, na iko tayari kukabiliana na athari za hatua hiyo.
Hadi kufikia sasa Waziri wa Fedha Wa Sweden, akiwa mjini Kampala, alisema waekezaji kutoka nchi yake watakuwa na wakati mgumu kuweka pesa zao nchini Uganda kwa sababu watakuwa na hofu kuwa sheria yo yote inaweza kupitishwa kuwadhulumu watu.
Jana serikali ya Uholanzi ilisema itazuia kwa muda misaada kwa Serikali ya Uganda. Norway na Denmark pia zimetangaza kupunguza au kusimamisha kwa muda misaada yake kwa Uganda.